Dkt. Mwinyi Talib Haji
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar β Wasifu na Historia ya Kitaaluma
Elimu
Shahada ya Uzamivu (PhD) katika Sheria β IIUM Malaysia (2010β2013)
Shahada ya Uzamili (MCL) katika Sheria β IIUM Malaysia (2005β2007)
Shahada ya Sheria na Shariah β Zanzibar University (2000β2004)
Stashahada ya Lugha β IKFL Zanzibar (1999β2000)
Elimu ya Sekondari ya Juu (A-Level) β Lumumba Sec. School (1999)
Astashahada ya Lugha β IKFL Zanzibar (1997β1998)
Elimu ya Sekondari (O-Level) β Kidongo Chekundu (1991β1996)
Elimu ya Msingi β Kidongo Chekundu (1983β1990)
Historia ya Ajira
1 Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar (2020 β sasa)
2 Naibu Katibu Mkuu β Wizara ya Mambo ya Nje (JulβNov 2020)
3 Mkurugenzi β Chuo cha Utumishi wa Umma (2018β2020)
4 Mkurugenzi wa Masomo ya Uzamili β Chuo Kikuu cha Zanzibar (2013β2018)
5 Mhadhiri Mwandamizi β Chuo Kikuu cha Zanzibar (2012β2017)
6 Msaidizi wa Mhadhiri β Chuo Kikuu cha Zanzibar (2007β2012)
7 Mshauri wa Kisheria β Wizara ya Maji na Ardhi (2005β2007)
Imesasishwa mwisho: Septemba 2025